Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Tuesday, March 23, 2010

JAMANI HII MIGOMO ITAISHA LINI????

Adris John akizungumza na halaiki ya wanafunzi wa IFM leo juu ya adhma ya mgomo wao na kusalitiwa kwa viongozi wao.




Baadhi ya wanafuzni wa chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM Dar es salaam walikusanyika katika eneo la wazi chuoni hapo jana wakati wakihamasishana kuanza mgomo wa kupinga ongezeko ala ada lililopanda kati ya asilimia 50 na 70.
Makundi makubwa ya mijadala yalizuka kila mmoja akiteta lakwake.Migomo imeshakuwa swala la kawaida katika baadhi ya vyuo. Huu ni wakati wa kutafuta njia maalum ya kudhibiti migomo hii, mikakati kabambe ipangwe kuepusha migomo mingine huko mbeleni.

No comments:

Post a Comment