
Mtoto huyu anaamua kulewa muda wote kwa ajili ya kupoteza mawazo,hapa alipo hana baba kwa hivyo hivi sasa anaishi na mzazi mmoja (mama anamuagiza kwenda mjini kuomba pesa na jioni akirudi wanagawana na mama yake kile alichokipata.
Wadau naomba maoni yenu juu ya tabia ya huyu mtoto,hatma yake nini?ameanza kuvuta kugundi mwishowe si ndio ataingia kwenye madawa ya kulevya na masuala ya ujambazi au nimekosea?Watoto kama hawa Serikali iwasaidieje manake ndio taifa la kesho……..Maoni yako tafadhali kama umeguswa….
xiianxchhang73ks
ReplyDeletegolden goose outlet
golden goose outlet
golden goose outlet
golden goose outlet
golden goose outlet
golden goose outlet
golden goose outlet
supreme outlet
supreme outlet
golden goose outlet