Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Wednesday, March 3, 2010
ADHABU MASHULENI!!
Pichani ni Mwalimu mmoja huko India akiwapa adhabu wanafunzi kwa kuwakanyaga mikono na pikipiki baada ya wanafunzi hao kuchelewa kumwagilia bustani za shule.. Jee hii adhabu ni sawa kwa wanafunzi?? Swali kwako mdau wangu
No comments:
Post a Comment