Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Monday, March 1, 2010

JOHN MAKINI NA G NAKO WAVAMIWA NA MAJAMBAZI!


Wasanii wawili wa bongo usiku wakuamkia leo jamaa walikuwa na kazi ya ziada kupambana na majambazi ili kuokoa maisha yao. Majambazi hao walifika eneo la tukio na kuanza kazi zao na hatimae wakachukua simu za hawa majamaa, deki, tv, hela nyingi tu na vingine vingi.
Nilipata nafasi yakuongea na Gnako na Joh Makini ili kujua afya zao na wako poa ila wameniambia lilikuwa kama picha la Rambo aiseee.
Poleni sana ndugu zangu....bora mko poa nashukuru tutachapa kazi na vitu vitarudi kwenye hali yake

No comments:

Post a Comment