Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Monday, March 1, 2010

HAYA NDO MAMBO YA MAULIDI DAY




haya ndio mambo ya usiku wakati kichwa kiko poa tayari,hii kitu imetokea usiku wa kuamkia leo pale kwenye ile kona matata sana mbele kidogo ya Rose Garden,jijini Dar.katika ajali hii hakudhurika mtu yeyote. Pichani ni Gari dogo aina ya Mitsubishi Pajero,yenye nambari za usajiri T 849 AXC ikiwa imekula mweleka ndani ya mtaro mara baada ya kumzidi ubavu suka wake.

No comments:

Post a Comment