Rais Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha kupiga kura kwenye kituo kipya cha kupigia kura kijijini kwake Msoga,wilayani Bagamoyo. Pembeni akiangalia ni msimamizi wa kituo cha kuandikisha wapiga kura cha Msoga Bi.Diana Fredrick. Kituo cha zamani cha JK kilikuwa Bwilingu, Kata ya Chalinze, wilayani Bagamoyo. Mama Salma Kikwete pia alijiandikisha kupiga kura kwenye daftari hilo la kudumu la wapiga kura kijijini hapo
No comments:
Post a Comment