Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Monday, March 8, 2010

Uwanja wa Mwanza wapigwa deki


Kaka Inno mambo vp!
ebwana hebu rusha hii wadau waone manake tuko airport toka asubuhi mpaka mchana huu hapa Mwanza na hakuna ndege inayotua wala kuruka kwani uwanja unapigwa deki kutoa maji
Mdau Jamal toka mwanza

No comments:

Post a Comment