Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Tuesday, May 4, 2010
Bamaga Mchana Huu
pamoja na kwamba taa zipo na zinafanya kazi kama kawa,lakini bado hali ni kama ionekavyo katika picha hii.hapa ni katika makutano ya barabara ya old Bagamoyo rodi na Shekilango rodi pamezoeleka kutwa Bamaga.
No comments:
Post a Comment