Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Saturday, May 15, 2010
NI MWAKA WA DIAMOND - AZOA TUZO TATU!!!
unaweza kusema kuwa huu ni mwaka wa msanii chipukizi Diamond...kwani usiku wa leo katika tuzo za kili ameibuka kidedea kuliko wasanii wote kwa kuzoa tuzo tatu kwa mpigo...pichani anaonekana akifurahia tuzo hizo akiwa na mama yake mzazi!
diamomd akikabidhiwa tuzo ya wimbo bora wa mwaka 'kamwambie' na imani madega wa yanga
...ni furaha tuu
ankal michuzi akikabidhi tuzo ya Walk of fame kwa mzee Zahir zorro
mzee zorro akiwa na familia yake, banana na maunda
timu ya watangazaji wa radio Clouds FM, akiongozwa na mkurugenzi Ruge Mutahaba (aliyeshika tuzo) wakipokea tuzo ya WALK OF FAME kwa mchango wake katika kuendeleza muziki wa kitanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment