Habari mbalimbali toka pande za bongo bila kusahau matukio mbalimbali yanayorindima pande zote za dunia
Psquare Ft. J.Martins- E No Easy
Monday, May 31, 2010
Nina mapacha tumboni mwangu!!
Hatimaye superstar aliyegonga wimbo mtamu wa "My heart will go On",Celine Dion, amejitokeza na kuwaeleza mapaparazzi waliokuwa wakimfwatilia na kumchunguza kila kukicha kama yeye ni mjamzito.
Mwanamama huyo machachari mwenye miaka 42 alisema ana uja uzito wa miezi 14 na anategemea kujifungua watoto mapacha!
Kabla ya mimba hiyo tayari alikuwa na mtoto Rene Charles mwenye miaka 9.
Pia aliwataka wapenzi wa muziki wake kukaa mkao wa kula sababu anakuja na album mbili mpya zilizoshiba!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment