Mwanadada Ray C ambaye anatambulika zaidi kwenye fani ua muziki na kupachikwa jina la kiuno bila mfupa, amekuja huku
Ray C amecheza filamu iliyopewa jina la beautiful iliyoandaliwa na muongozaji Tuesday Kihangala
Filamu hiyo imechezewa mjini Morogoro na Tuesday amemfagilia saana Ray C amekamua vilivyo.
Je Ray C atahamia huko baada mambo yake kwenye muziki kwenda kombo?
No comments:
Post a Comment