Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Monday, May 24, 2010

Ray C atest zali la Movie !


Mwanadada Ray C ambaye anatambulika zaidi kwenye fani ua muziki na kupachikwa jina la kiuno bila mfupa, amekuja huku

Ray C amecheza filamu iliyopewa jina la beautiful iliyoandaliwa na muongozaji Tuesday Kihangala

Filamu hiyo imechezewa mjini Morogoro na Tuesday amemfagilia saana Ray C amekamua vilivyo.

Je Ray C atahamia huko baada mambo yake kwenye muziki kwenda kombo?

No comments:

Post a Comment