Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Tuesday, May 25, 2010

JK Ahutubua Bunge La Afrika Mashariki Leo Nairobi.


Rais Jakaya Kikwete(Katikati) Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Abdirahin Abdi(kushoto) na Spika wa Bunge la Kenya Kenneth Marende(kulia) wakiwa katika viwanja vya Bunge la Kenya Muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuwasili na kupigiwa wimbo wa taifa ambapo baadaye Rais Kikwete alilihutubia bunge la jumuiya hiyo.


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilihutubia bunge la jumuiya hiyo jijini Nairobi leo asubuhi.

No comments:

Post a Comment