Ni ndani ya Ukumbi wa bilicanas jijini Dar es Salam akiwa sambamba na Mumuwe Hamad Ndikumana wanayeishi nae nchini Cyprus.
Picha hii inanoga zaidi baada ya muigizaji huyo maarufu wa filamu Irene Uwoya kuzushiwa kuwa ndoa yake imefikia tamati kutokana naye kuwepo nchini kwa muda
Irene alikuwa nchini kwa ajili ya kuigiza filamu ya kampuni ya RJ iliyopewa jina la My Dream ambayo inafanya vyema sokoni
No comments:
Post a Comment