Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Wednesday, May 5, 2010

KIPINDI CHA JAHAZI JUU YA TUCTA MTANDAONI


BOFYA HAPA usikilize kipindi cha jahazi juu ya TUCTA
Hii ni tafakari ya Gardner G Habash na Ephraim Kibonde katika kipindi cha Jahazi kilichorushwa na redio CloudsFM siku ya Jumanne terehe 4 Mei 2010 wakizungumzia juu ya mgogoro wa Shirikisho la Vyama Vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) na Serikali kuhusu madai ya nyongeza za mishahara na maboresho mengine. Bofya kifute cha play kwenye pleya iliyopo chini ya picha nawe upate kusikiliza.

Shukrani kwa www.Bongo5.com kwa kuwezesha radio CloudsFM kusikika mtandaoni nasi tukaweza kurekodi.
Mdau Subi wa www.wavuti.com

No comments:

Post a Comment