Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Monday, May 3, 2010

Ubingwa wanukia kwa Chelsea!!!


Chelsea imekaribia kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya England baada ya kuichapa Liverpool kwa mabao 2-0 kwenye uwanja wa Anfiled.

Kipindi cha pili kilianza taratibu, na dakika nane tu baada ya mapumziko hayo, Frank Lampard aliandika bao la pili na la ushindi.

Liverpool wakionekana kuchoka kutokana na mchezo wa ligi ya Europa dhidi ya Atletico Madrid, hawakuonesha dalili zozote za kuzinduka.

No comments:

Post a Comment