Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Monday, May 31, 2010

TID siyo Kioo cha Jamii!!


Mkali mpya wa rnb kwa bongo sasa Rama D ameibuka na kumpaka “Live” mkali mwengine kwenye miondoko hiyo na mkongwe kabisa kwenye game hili la bongo Fleva Khaleed Mohamed a.k.a Top In Dar.

Rama D ambaye alikuwa akihojiwa na kituo kimoja cha Radio Rama D alisema TID hawezi kuwa kioo cha Jamii hata sikumoja kutokana na tabia zake mbaya mbele ya jamii kila kukicha.

“Unajuwa jamaa kwa upande wa usanii kafika mbali kusema kweli anajitahidi sana, lakini kama kioo cha jamii alitakiwa awe mfano mzuri lakini badala yake yeye kila siku ndiyo anafanya vurugu kwa kuharibu ovyo"alisema Rama D.

No comments:

Post a Comment