Psquare Ft. J.Martins- E No Easy

Thursday, May 27, 2010

Microsoft Yapigwa Overtake na Apple!!




Apple a.k.a The new King of technology ambao ni watengenezaji wa Ipod, Iphone, Ipad na kadhalika hapo majuzi walitangazwa kuwa vinara katika sekta ya teknlojia ya kisasa hivyo kuifanya Microsoft inayomilikiwa na Bilionea Bill Gates kupigwa na butwaa huku ikitupwa chini na kushushwa hadi nafasi ya pili.

Habari ndio hiyo!

No comments:

Post a Comment